Loading...

Moto wa Leo: Baada ya Kudaiwa Kumtelekeza Mtoto, Barakah da Prince Kafunguka ya Moyoni….

video za wagombea urais bonyeza hapa chini


Hii imetokea kwa msanii mkongwe na maarufu Baraka de Prince kuwekwa hadharani na mzazi mwenzake kwa kosa la kutotimiza majukumu ya mwanae. Maneno haya yamekuwa gumzo kubwa mtaani pia kati ya Barakah na mzazi mwenzake. Je’ wataka kujua zaidi….!!!!

 ‘tatizo sasa hatoi huduma ya mtoto, yani kila siku nikimpigia simu yuko busy anadai yuko studio na huku nyumbani kwetu wananifukuza wanadai niende Dar es salaam‘ 
Baada ya hizi stori, Kisima cha Burudani  ilimtafuta Barakah da Prince ili kupata ukamilisho ‘Kwanza siwezi kumkataa wala kumtelekeza mtoto, ni kweli mimi nina mtoto na taarifa za kuwa sitoi matumizi ya mwanangu
sijawahi kupewa taarifa za matumizi ya mwanangu na nikaachi kutuma, imeniumiza sana, na hii imeniuma kuliko kitu chochote kilichowahi kuniuma katika maisha yangu.

SHARE TO
kujishindia mamilioni bonyeza hapo chini, ==>>
Share/Bookmark International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI KUHUSU HABARI HII

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright KisimachaBurudani | Designed By KISIMA CHA BURUDANI
Back To Top