Loading...

Siri Kubwa: Je' Unajua Sababu Kuu ya Lulu Kushinda Tuzo Nchini Nigeria?...

video za wagombea urais bonyeza hapa chini


Tunajua ni Watanzania wawili walishinda tuzo mbili kwenye usiku wa tuzo za Africa Magic Viewer’s Choice Awards, wa kwanza ni Single Mtambalike ‘Richie’ na Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambapo Richie tayari alisharudi nyumbani Tanzania usiku wa March 6 2016 ila Lulu hakutokea Airport japo baadhi ya watu walimtarajia....




Lulu alishindwa kutokea jana akiambatana na Richie na kuiambia Kisima cha Burudani  kwamba hakuweza kurudi hiyo jana sababu alibaki Nigeria kwa ajili ya kazi, kuna watu alikua na maongezi nayo kwenye nchi hiyo maarufu kwa filamu Afrika.

    Video hapa....!!!!



SHARE TO
kujishindia mamilioni bonyeza hapo chini, ==>>
Share/Bookmark International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI KUHUSU HABARI HII

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright KisimachaBurudani | Designed By KISIMA CHA BURUDANI
Back To Top