Mkuu wa Mkoa wa Mbeya
Mh:Abbas Kandoro akizungumza na Waandishi wa Habari nje
Ukumbi wa Mkapa uliopo Sokomatola Jijini Mbeya katika Semina ya Wadau wa Elimu
wa Mkoa wa Mbeya na Mkoa wa Katavi ambao wamekutana leo kuzungumzia juu ya
Mbinu ambazo wanazitumia Mkoa wa Katavi kufanikiwa kufaulisha Wanafunzi kwa
Asilimia kubwa Mkoa wa Mbeya na Mikoa mingine
.
Kutoka Kushoto ni Afisa Elimu Mkoa wa Mbeya Ndugu,Charles Mwakalila na
Afisa Elimu Mkoa wa Katavi Ndugu,Helenest Hinju akizungumza na Wadau wa Elimu
Mkoa wa Mbeya na Katavi hawapo Pichani katika Semina ya Wadau wa Elimu
iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Mkapa Jijini Mbeya.
Baadhi ya Wadau wa Elimu Mkowa wa Mbeya na Katavi wakisikiliza kwa
makini Semina hiyo ya siku mbili juu ya Mbinu za Ongezeko la ufauru kwa Dalasa
la Saba Mkoa wa Mbeya.
SHARE TO
kujishindia mamilioni bonyeza hapo chini, ==>>
International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily.
Post a Comment