Loading...

BREAKING NEWS: WALIMU WAPIGWA MARUFUKU KUPAKA WANJA…

video za wagombea urais bonyeza hapa chini


Serikali wilayani hapa Mkoa wa Geita, imepiga marufuku walimu kuvaa mavazi yasiyolingana na taaluma yao na upakaji wanja na rangi ya mdomo kupita kiasi wanapokuwa kazini. Hii nikutokana na walimu wengi sasa hivi huwa wanapoteza muda mwingi kwenda kwenye ma saloon badala ya kufundisha ama kufikiria kupanga ratiba za masomo. Wengine huwa wanaenda na vipodozi kabisa shuleni pale wanapokuwa watoa kazi kwa wanafunzi ndio wanatumia muda huo kuanza kujiremba.


SHARE TO
kujishindia mamilioni bonyeza hapo chini, ==>>
Share/Bookmark International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI KUHUSU HABARI HII

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright KisimachaBurudani | Designed By KISIMA CHA BURUDANI
Back To Top