Loading...

BREAKING NEWS: MWILI WA MBUNGE LETICIA NYERERE WAWASILI DAR ES SALAAM NA MAZISHI YAKE KUFANYIKA BUTIHAMA MKOANI MARA KESHO KUTWA…

video za wagombea urais bonyeza hapa chini

 Hapa ni  Askari wa Bunge wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mara, Leticia Nyerere aliyefariki nchini Marekani alikokuwa akitibiwa mara baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam leo jioni. Mwili huo kesho utaagwa nyumbani kwa Mwalimu Nyerere Msasani  kabla ya kusafirishwa kwenda Butihama mkoani Mara kwa mazishi yatakayofanyika keshokutwa.

 Hili ndio gari maalumu ndugu walioandaa kwaajili ya kusafirisha mwili wa marehemu. Hapo ndio mwili wa marehemu ukiwekwa katika gari.

Huyu ndio mume wa marehemu akiwa katika majonzi makubwa. Nakufajiriwa na ndugu na majamaa walio hudhuria katika tukio hilo. Tukiwemo na kisima cha burudani kama ilivyo kawaida yetu.

Pembeni kushoto ni Kijana wa marehemu akiwa na ndugu wengine wakijadili mambo mawili matatu.
SHARE TO
kujishindia mamilioni bonyeza hapo chini, ==>>
Share/Bookmark International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI KUHUSU HABARI HII

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright KisimachaBurudani | Designed By KISIMA CHA BURUDANI
Back To Top