Loading...

MAUWAJI YA WAPIGANAJI WA TALIBAN....

video za wagombea urais bonyeza hapa chini


Wapiganji wa Taleban
Ripoti zinasema mshambuliaji mwenye umri wa miaka chini ya ishirini aliwalenga maafisa hao wa polisi mapema hii leo.
Watano kati ya waliouawa ni maafisa wa polisi na miongoni mwao ni afisa mkuu wa polisi katika kizuizi hicho na naibu kamanda wa polisi kutoka kabila hilo ambaye aliajiriwa na serikali, ili kusaidia katika mikakati ya kupambana na wapiganaji wa Taleban Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo.
Katika siku za hivi karibuni, maafisa wa ulinzi nchini humo wamekuwa wakilengwa na wapiganaji wa Taleban na Al-Qaeda.
Eneo hilo la Bajur limeshuhudia makabiliano makali zaidi kati ya wanajeshi wa serikali wanozizatiti kupambana na wapiganaji wa waasi.


Shambulio hilo ndilo mbaya zaidi kuwahi kutokea nchini humo tangu tarehe mbili mwezi Machi mwaka huu, wakati watu 22 waliuawa na mlipuaji wa kujitoa mhanga katika msikiti mmoja katika wilaya ya Khyber.
SHARE TO
kujishindia mamilioni bonyeza hapo chini, ==>>
Share/Bookmark International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI KUHUSU HABARI HII

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright KisimachaBurudani | Designed By KISIMA CHA BURUDANI
Back To Top