Loading...

VITA VYA SUDAN VYAENDELEA....

video za wagombea urais bonyeza hapa chini


Jamhuri ya Sudan imekubaliana na mpango wa Muungano wa Afrika (AU) wa kusitisha uhasama na Sudan Kusini, lakini imesema itajilinda iwapo itashambuliwa.
Jumatano iliyopita, baraza la usalama la Umoja wa Mataifa, lilizipa nchi hizo mbili hadi Ijumaa kusitisha mapigano, la sivyo ziwekewe vikwazo.
mpango wa AU
Kulingana na mpango wa amani wa Muungano wa Afrika ambao nchi hizo mbili zimeridhia, Sudan na Sudan Kusini pia zitatarajiwa kurudi katika meza ya mazungumzo, katika siku chache zijazo.
Mzozo wa hivi karibuni ulianza mwezi uliopita wakati Sudan Kusini ilipodhibiti eneo linalozozaniwa lenye utajiri mkubwa wa mafuta la hejlig.
Japo Sudan ndio inayodhibiti eneo hilo kwa sasa, nchi hizo mbili bado zinaonekena kuwa huenda zikarejea vitani


SHARE TO
kujishindia mamilioni bonyeza hapo chini, ==>>
Share/Bookmark International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI KUHUSU HABARI HII

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright KisimachaBurudani | Designed By KISIMA CHA BURUDANI
Back To Top