Loading...

Arsene Wenger: Mashabiki wa Arsenal Wamenza Kumjia juu Kocha wa Arsenal na Kumtaka Aondoke…

video za wagombea urais bonyeza hapa chini


Habari za Makocha wa Vilabu vya Ligi Kuu Uingereza zinazidi kushika kasi katika vyombo vya habari vya Uingereza, kocha wa Man United Louis van Gaal na aliyekuwa kocha wa Chelsea Jose Mourinho ndio walikuwa wanaongoza kwa kuandikwa....




Habari zimeahamia kwa kocha wa klabu ya Arsenal Arsene Wenger, ambae weekend iliyomalizika klabu yake imeondolewa katika michuano ya Kombe la FA, wiki iliyopita kwenye mchezo dhidi ya Hull City shabiki wa Arsenal alionekana akionesha bango linaloshinikiza ajiuzulu.

SHARE TO
kujishindia mamilioni bonyeza hapo chini, ==>>
Share/Bookmark International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI KUHUSU HABARI HII

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright KisimachaBurudani | Designed By KISIMA CHA BURUDANI
Back To Top