Loading...

Edward Lowassa: Haya ndio Maneno ya Edward Lowassa Baada ya Kusikia Waliomuunga Mkono Wanaendelea Kufukuzwa CCM…

video za wagombea urais bonyeza hapa chini


 Kuna mambo yanayotokea kule CCM nadhani wameumia kidogo na sasa wanaanza kulalamika Lowassa anavyowapotezea Ruzuku, lakini hivi karibuni kuna utaratibu wa kuwafukuza kwenye chama watu wanaotuhumiwa kuniunga mkono, wanaambiwa ondokeni kwenye chama mfateni Lowassa’…




Nasikia kuna mipango mikubwa zaidi Rais Magufuli akikabidhiwa chama mwezi wa sita, kuna mipango mikubwa zaidi ya kuwaondoa kwenye chama…. sasa mimi nawaambia kwamba kuna maisha nje ya CCM, waje CHADEMA kuna maisha mazuri tu hapa…. wasibaki huko wananyanyaswa, waje tushirikiane hapa yanini kulialia?Edward Lowassa
SHARE TO
kujishindia mamilioni bonyeza hapo chini, ==>>
Share/Bookmark International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI KUHUSU HABARI HII

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright KisimachaBurudani | Designed By KISIMA CHA BURUDANI
Back To Top