Loading...

BREAKING NEWS: MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE AFARIKI DUNIA...

video za wagombea urais bonyeza hapa chini


Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania Mhandisi Suleiman Said Suleiman
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege  (Tanzania Airport Association)  Nchini Mhandisi Suleiman Said Suleiman amefariki dunia wakati akifanya mazoezi ya kuogelea katika Bahari ya Hindi leo asubuhi jijini Dar es Salaam. Hii ilikuwa kawaida yake na utaratibu wake wa kila siku kwenda kujifunza kuogelea kwani hupenda sana kuogelea.

Kwa mujibu wa Afisa Habari wa Mamlaka hiyo amesema kuwa msiba wake uko nyumbani kwake Upanga jijini Dar es Salaam na atazikwa katika makaburi ya Kisutu leo saa 10 jioni.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
SHARE TO
kujishindia mamilioni bonyeza hapo chini, ==>>
Share/Bookmark International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI KUHUSU HABARI HII

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright KisimachaBurudani | Designed By KISIMA CHA BURUDANI
Back To Top