.
Na huu umekuwa mfano mkubwa hata kwa ma raisi wengine. maana kuna ma raisi wengine wamekuwa wakiendekeza sana swala la udini kitu ambacho hata hayati baba wa taifa Julius Kambarage Nyerere alikipinga kwa kiasi kikubwa sana. Na mtu aliekuwa akibainikia kufanya kitendo kama hiko alikuwa anakuhukumia kunyongwa. Siku zote katika maisha ukitaka kuleta ama kuzua ama kusababisha maafa katika nchi ni kuanza kuingiza swala la udini.
Papa wa dunia amefurahi sana kwa ugeni huu. Na amewapongeza kwa maamuzi walio yafanya na amewapatia baraka za milele kwa maisha yao yote ya hapa duniani. Tujifunze kupitia wenzetu na tujifunze kwa mazuri na sio kwa mabaya. hongera sana Jakaya Mrisho Kikwete kwa mfano huu mzuri ulio uwonyesha kwa Tanzania na dunia nzima.
SHARE TO
kujishindia mamilioni bonyeza hapo chini, ==>>
International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily.
Post a Comment