Loading...

NAPE NAUYE KUFUNGIA GAZETI LA WAWIO KISA HUWA LINAWEKA WAZI MAMBO YA CCM...

video za wagombea urais bonyeza hapa chini

Ninalaani Vikali  kitendo cha Waziri wa Michezo na Habari Nape Nnauye kulifungia gazeti la WAWIO kwa chuki zake binafsi bila ya kufikilia.
Tangu mwanzo nilipinga uteuzi wa magufuri zidi ya nape kuwa waziri kutokana na elimu yake kuwa ndogo na uwezo wa akili lakini pia kukurupuka bila kufikiria.
Nape Nnauye amelifungia gazeti la MAWIO bila kuweka sababu yoyote ni kwa nini amelifungia. Leo hii serikali ya Tanzania inapaswa kulilipa gazeti la mwanahalisi bilion 4 pesa za walipakodi kutokana na kufungiwa bila sababu Za msingi na serikali ya CCM ikiongozwa na kikwete.


Leo hii yanajirudia yaleyale waziri kakuta sms za ajabu kwenye simu ya mke wake basi hasira anazitolea kulifungia gazeti bila kujali hathari wala hasara itakayoipata serikali kwa kuwa tu hasara ya serikali pesa haitoki mfukoni mwake.
kikwete na waziri wake walilifungia gazeti la mwanahalisi kwa chuki zao mwanahalisi wakashinda kesi leo hii serikali inapaswa kuilipa mwanahalisi bilion 4 huku waliosababisha hasara hii hawapo na ni wastaafu wala hawahusiki katika malipo hayo.




Nape kwa akili ile ile naye anaenda kulifungia mawio kwa chuki zake mie nadhani ni muda wa bunge kutunga sheria ambayo mtumishi yoyote akiitia hasara serikali akatwe mshahara wake na mafao kufidia hasara hiyo kisha kufunguliwa mashtaka mahakamani hii inaweza kuleta uwajibikaji,umakini kazini na kupunguza ulevi wa madaraka. Serikali inabidi kufikiria kwa makini na kuchukulia hatua swala hili.


SHARE TO
kujishindia mamilioni bonyeza hapo chini, ==>>
Share/Bookmark International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI KUHUSU HABARI HII

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright KisimachaBurudani | Designed By KISIMA CHA BURUDANI
Back To Top