Loading...

Habari Mpya: Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Atumbua Jipu Kubwa...

video za wagombea urais bonyeza hapa chini

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Utumishi na Utawala Bora  Angela Kairuki ametangaza kumsimamisha kazi Mkuu wa chuo cha Utumishi wa Umma na Wakurugenzi wawili wa chuo kwa tuhuma za ubadhirifu wa wa mali za umma. Hii imabainika wiki iliopita na baada ya kufanyiwa Uchunguzi wa kina ndipo Waziri wa Nchi ofisi ya Rais bi Angel Kairuki kutumbua majipu yalionza kuoza.


Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Angela Kairuki amemsimamisha kazi Said Nassoro Mkuu wa chuo cha Utumishi wa Umma na wakurugenzi wengine wawili wa chuo kwasababu ya matumizi mabovu ya fedha za umma.
SHARE TO
kujishindia mamilioni bonyeza hapo chini, ==>>
Share/Bookmark International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI KUHUSU HABARI HII

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright KisimachaBurudani | Designed By KISIMA CHA BURUDANI
Back To Top